1 Wakorintho 6:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu anaweza kusema: “Kwangu mimi kila kitu ni halali.” Sawa; lakini si kila kitu kinafaa. Nakubali kwamba kila kitu ni halali kwangu lakini sitaki kutawaliwa na kitu chochote.

1 Wakorintho 6

1 Wakorintho 6:2-13