1 Wakorintho 6:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadhi yenu mlikuwa hivyo; lakini sasa mmeoshwa, mkafanywa watakatifu, na kufanywa waadilifu na kupatanishwa na Mungu kwa jina la Bwana Yesu Kristo na kwa Roho wa Mungu wetu.

1 Wakorintho 6

1 Wakorintho 6:8-12