1 Wakorintho 2:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Hekima tunayotumia ni hekima ya siri ya Mungu, hekima iliyofichika, ambayo Mungu aliiazimia tangu mwanzo kwa ajili ya utukufu wetu.

1 Wakorintho 2

1 Wakorintho 2:4-12