1 Wakorintho 2:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Hata hivyo, sisi tunatumia lugha ya hekima kwa wale waliokomaa kiroho; lakini hekima hiyo si ya hapa duniani, wala si ya watawala wa dunia hii ambao wako katika mkumbo wa kupotea.

1 Wakorintho 2

1 Wakorintho 2:2-16