1 Wakorintho 12:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, jueni kwamba mtu yeyote anayeongozwa na Roho wa Mungu hawezi kusema: “Yesu alaaniwe!” Hali kadhalika, mtu yeyote hawezi kusema: “Yesu ni Bwana,” asipoongozwa na Roho Mtakatifu.

1 Wakorintho 12

1 Wakorintho 12:1-4