1 Wafalme 7:45 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu vile vyungu, sepetu na mabirika, vyombo hivyo vyote vilivyokuwa katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu ambavyo Hiramu alimtengenezea mfalme Solomoni, vilikuwa vya shaba iliyongarishwa.

1 Wafalme 7

1 Wafalme 7:41-51