1 Timotheo 6:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Waamuru watu walio matajiri katika mambo ya maisha ya sasa, wasijivune, wasiweke tumaini lao katika mali isiyoweza kutegemewa; bali wamtegemee Mungu, ambaye kwa ukarimu hutupatia vitu vyote tuvifurahie.

1 Timotheo 6

1 Timotheo 6:13-21