1 Timotheo 6:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Yeye peke yake anaishi milele katika mwanga usioweza kukaribiwa na mtu. Hakuna mtu aliyepata kumwona au awezaye kumwona. Kwake iwe heshima na uwezo wa milele! Amina.

1 Timotheo 6

1 Timotheo 6:12-21