1 Samueli 9:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli akamwuliza, “Lakini tukimwendea, tutampa nini? Tazama, mikate katika mifuko yetu imekwisha na hatuna chochote cha kumpa huyo mtu wa Mungu. Tuna nini?”

1 Samueli 9

1 Samueli 9:6-17