1 Samueli 9:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Yule mtumishi akamwambia, “Ngoja kidogo; katika mji huu kuna mtu wa Mungu ambaye anaheshimiwa sana; kila asemalo huwa kweli. Sasa tumwendee, labda anaweza kutuambia jinsi safari yetu itakavyokuwa.”

1 Samueli 9

1 Samueli 9:5-16