1 Samueli 5:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu aliwaadhibu vikali na kuwatisha watu wa Ashdodi. Aliwaadhibu, hata na majirani zao, kwa kuwaletea ugonjwa wa majipu.

1 Samueli 5

1 Samueli 5:4-7