1 Samueli 5:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndio maana makuhani wa Dagoni na wote wanaoingia kumwabudu Dagoni huko Ashdodi, wanapoingia kwenye hekalu la Dagoni hawakanyagi kizingiti cha hekalu la Dagoni hadi leo.

1 Samueli 5

1 Samueli 5:4-12