1 Samueli 30:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akamwuliza, “Je, utaweza kunipeleka kwenye genge hilo?” Kijana akamjibu, “Ikiwa utaniapia kwa jina la Mungu kuwa hutaniua, wala kunitia mikononi mwa bwana wangu, nitakupeleka.”

1 Samueli 30

1 Samueli 30:9-23