1 Samueli 30:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Sisi tulishambulia sehemu ya jangwa wanamoishi Wakerethi, eneo la Yuda pamoja na sehemu ya jangwa unakoishi ukoo wa Kalebu, tukauteketeza kwa moto mji wa Siklagi.”

1 Samueli 30

1 Samueli 30:4-23