1 Samueli 28:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Wafilisti walikusanyika na kupiga kambi yao huko Shunemu; na Shauli aliwakusanya Waisraeli wote na kupiga kambi yao kwenye mlima Gilboa.

1 Samueli 28

1 Samueli 28:1-11