1 Samueli 28:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo yule mwanamke alipomwendea Shauli, na alipoona kuwa Shauli ameshikwa na hofu mno, alimwambia, “Mimi mtumishi wako nimehatarisha maisha yangu kwa kufanya kile ulichoniambia nikufanyie.

1 Samueli 28

1 Samueli 28:13-24