1 Samueli 28:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Ghafla, Shauli akiwa na hofu kutokana na maneno ya Samueli, alianguka kifudifudi; hakuwa na nguvu zozote; kwa kuwa alikuwa hajala chochote kwa siku nzima, usiku na mchana.

1 Samueli 28

1 Samueli 28:11-23