1 Samueli 25:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi alikuwa akifikiri, “Mimi nimekuwa nikilinda mali yote ya Nabali nyikani bila faida yoyote na hakuna kitu chake chochote kilichopotea, naye amenilipa mabaya kwa mema niliyomtendea.

1 Samueli 25

1 Samueli 25:17-22