1 Samueli 25:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Alipokuwa anateremka, amepanda punda wake, na kukingwa na mlima upande mmoja, akakutana kwa ghafla na Daudi na watu wake wakiwa wanaelekea upande anakotoka.

1 Samueli 25

1 Samueli 25:10-26