1 Samueli 24:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye, Daudi naye akainuka, akatoka pangoni na kumwita Shauli, “Bwana wangu mfalme!” Mfalme Shauli alipoangalia nyuma, Daudi aliinama hadi chini, akamsujudia Shauli.

1 Samueli 24

1 Samueli 24:3-11