1 Samueli 24:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa maneno hayo, Daudi akawashawishi watu wake wasimdhuru Shauli; aliwakataza wasimshambulie. Kisha Shauli akasimama, akatoka pangoni akaendelea na safari yake.

1 Samueli 24

1 Samueli 24:1-9