1 Samueli 20:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Baba yako akinikosa mezani kwa chakula, akauliza habari zangu, basi mwambie, ‘Daudi amenisihi nimpe ruhusa ili aende mjini kwake Bethlehemu, kuhudhuria tambiko ya kila mwaka pamoja na jamaa yake’.

1 Samueli 20

1 Samueli 20:1-8