1 Samueli 20:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akamwambia, “Kesho ni sherehe za mwezi mwandamo, nami natazamiwa kuwapo mezani kula pamoja na mfalme. Lakini niache, nikajifiche huko shambani hadi siku ya tatu jioni.

1 Samueli 20

1 Samueli 20:1-15