1 Samueli 20:36 Biblia Habari Njema (BHN)

Alipofika huko alimwambia yule kijana wake, “Kimbia ukaitafute mishale ambayo nitapiga.” Yule kijana alipokuwa anakimbia, Yonathani akapiga mshale mbele yake.

1 Samueli 20

1 Samueli 20:28-42