1 Samueli 20:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Kesho yake asubuhi, Yonathani alikwenda kule shambani, kukutana na Daudi kama walivyoagana. Alikwenda huko na kijana mmoja wa kiume.

1 Samueli 20

1 Samueli 20:33-37