1 Samueli 20:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Je, hujui kwamba Daudi awapo hai, wewe hutaweza kupata fursa ya kuwa mfalme wa nchi hii? Sasa nenda ukamlete hapa kwangu, kwa kuwa lazima auawe.”

1 Samueli 20

1 Samueli 20:26-35