1 Samueli 20:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo Shauli akawaka hasira dhidi ya Yonathani, akamwambia, “Mwana wa mwanamke mpotovu na mwasi wewe! Ninajua kuwa umejichagulia mwana wa Yese kwa aibu yako mwenyewe, na kumwaibisha mama yako!

1 Samueli 20

1 Samueli 20:21-36