1 Samueli 19:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli alimweleza mwanawe Yonathani na maofisa wake juu ya mpango wake wa kumwua Daudi. Lakini Yonathani, mwanawe Shauli, alimpenda sana Daudi.

1 Samueli 19

1 Samueli 19:1-9