1 Samueli 18:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Jeshi la Wafilisti lilikwenda kupigana na Waisraeli, lakini kila mara walipopigana vita, Daudi alipata ushindi kuliko watumishi wa Shauli; hivyo jina lake Daudi likazidi kusifiwa sana.

1 Samueli 18

1 Samueli 18:20-30