1 Samueli 18:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu Shauli aliwaamuru watumishi wake akisema “Ongea faraghani na Daudi na kumwambia, ‘Mfalme anapendezwa sana nawe, hata watumishi wake pia wote wanakupenda’. Hivyo, sasa kubali kuwa mkwewe mfalme.”

1 Samueli 18

1 Samueli 18:15-27