1 Samueli 18:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli alifikiri, “Ngoja nimwoze huyu ili awe mtego kwake. Na bila shaka Wafilisti watamuua.” Hivyo Shauli akamwambia Daudi mara ya pili, “Sasa nitakuwa baba mkwe wako.”

1 Samueli 18

1 Samueli 18:19-30