1 Samueli 17:50 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndivyo Daudi alivyomshinda Goliathi kwa kombeo lake na jiwe. Alimpiga yule Mfilisti na kumuua. Daudi hakuwa na upanga wowote mkononi mwake.

1 Samueli 17

1 Samueli 17:41-58