1 Samueli 17:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli akamwambia Daudi, “Wewe huwezi kwenda kupigana na Mfilisti yule. Wewe ni kijana tu, lakini mtu huyo amekuwa vitani tangu ujana wake.”

1 Samueli 17

1 Samueli 17:25-38