1 Samueli 17:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akamwambia Shauli, “Mtu yeyote asitishike moyoni mwake kutokana na Mfilisti huyu. Mimi mtumishi wako nitakwenda kupigana naye.”

1 Samueli 17

1 Samueli 17:29-42