1 Samueli 16:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo, Yese alituma mtu, naye akaletwa. Yule kijana alikuwa mwenye afya, mwenye macho maangavu na wa kupendeza. Mwenyezi-Mungu akamwambia Samueli, “Sasa, huyu ndiye; inuka umpake mafuta.”

1 Samueli 16

1 Samueli 16:6-20