1 Samueli 15:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Samueli akamwambia, “Ingawa unajiona kuwa wewe si maarufu, je, wewe si kiongozi wa makabila ya Israeli? Mwenyezi-Mungu alikupaka mafuta uwe mfalme juu ya Israeli.

1 Samueli 15

1 Samueli 15:8-25