1 Samueli 15:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Samueli akamkatiza Shauli, “Nyamaza! Nitakuambia jambo aliloniambia Mwenyezi-Mungu leo usiku.” Shauli akasema, “Niambie.”

1 Samueli 15

1 Samueli 15:15-24