1 Samueli 14:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu mmoja akamwambia, “Baba yako aliwaapisha watu vikali, akisema, ‘Mtu yeyote atakayekula chakula leo na alaaniwe.’” Nao watu walikuwa hoi kwa njaa.

1 Samueli 14

1 Samueli 14:23-31