1 Samueli 14:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Yonathani hakuwa amesikia baba yake alipowaapisha watu. Hivyo akainyosha fimbo aliyokuwa nayo, akaichovya kwenye sega la asali, akala asali hiyo. Hapo akajisikia kuwa na nguvu.

1 Samueli 14

1 Samueli 14:24-28