1 Samueli 14:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo, Shauli na watu wake wakajipanga na kuingia vitani dhidi ya Wafilisti. Lakini Wafilisti walianza kushambuliana wenyewe kwa wenyewe kwa mvurugiko mkubwa.

1 Samueli 14

1 Samueli 14:17-25