1 Samueli 14:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli alipokuwa anaongea bado na kuhani, ghasia kambini kwa Wafilisti ziliongezeka zaidi na zaidi. Kwa hiyo Shauli akamwambia kuhani, “Acha; usililete tena sanduku la agano.”

1 Samueli 14

1 Samueli 14:9-21