1 Samueli 13:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli alimngoja Samueli kwa muda wa siku saba, kama Samueli alivyosema. Lakini Samueli hakuja huko Gilgali na watu walianza kumwacha Shauli.

1 Samueli 13

1 Samueli 13:1-10