1 Samueli 13:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Wafilisti walitoka kwenye kambi yao kwenda kuwashambulia wakiwa wako katika vikosi vitatu. Kikosi kimoja kilielekea Ofra katika nchi ya Shuali.

1 Samueli 13

1 Samueli 13:14-23