1 Samueli 13:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli na Yonathani mwanawe pamoja na watu waliokuwa pamoja nao, walikaa huko Gibea katika nchi ya Benyamini na Wafilisti walipiga kambi huko Mikmashi.

1 Samueli 13

1 Samueli 13:8-23