1 Samueli 11:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Wazee wa Yabeshi wakamwambia, “Tupe muda wa siku saba ili tuwatume wajumbe katika nchi yote ya Israeli. Kama hakuna mtu yeyote wa kutuokoa, tutajisalimisha wenyewe kwako.”

1 Samueli 11

1 Samueli 11:1-5