1 Samueli 11:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini akawaambia, “Nitafanya mapatano nanyi kwa sharti moja kwamba nitamngoa kila mmoja wenu jicho lake la kulia; hivyo nitawaaibisha Waisraeli wote.”

1 Samueli 11

1 Samueli 11:1-10