1 Mambo Ya Nyakati 6:71 Biblia Habari Njema (BHN)

Jamaa za ukoo wa Gershomu walipewa miji ifuatayo pamoja na malisho yake: Katika nusu ya kabila la Manase walipewa: Golani katika Bashani pamoja na malisho yake, Ashtarothi pamoja na malisho yake.

1 Mambo Ya Nyakati 6

1 Mambo Ya Nyakati 6:70-75