1 Mambo Ya Nyakati 4:42 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wengine wa kabila la Simeoni wapatao 500 walikwenda mpaka kwenye mlima Seiri. Waliongozwa na Pelatia, Nearia, Refaya na Uzieli, wana wa Ishi.

1 Mambo Ya Nyakati 4

1 Mambo Ya Nyakati 4:33-43