1 Mambo Ya Nyakati 4:41 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika siku za mfalme Hezekia wa Yuda, watu hao waliotajwa majina yao walikwenda huko Gedori, wakaharibu hema za Wameuni waliokuwa wakiishi huko na kuwafukuza kabisa mpaka leo. Walifanya makao yao ya kudumu huko kwa sababu kulikuwa na malisho tele kwa ajili ya kondoo wao.

1 Mambo Ya Nyakati 4

1 Mambo Ya Nyakati 4:31-43