1 Mambo Ya Nyakati 4:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Wana wa Ezra walikuwa Yetheri, Meredi, Eferi na Yaloni. Meredi alimwoa Bithia, bintiye Farao, na hawa ndio wana aliomzalia Meredi: Miriamu, Shamai na Ishba, mwanzilishi wa mji wa Eshtemoa.

1 Mambo Ya Nyakati 4

1 Mambo Ya Nyakati 4:12-20